Skip to content

Le foyer de la communauté africaine de l’éducation des adultes

Derick Ngimba

Organization Bright Foundation for Tanzania Development (BFTD)

Pays Tanzanie

Région Afrique de l'Est

Secteur Organisation de la société civile / ONG

Poste / titre du poste Managing Director

map

My experience in adult learning and education

Mimi ni mwalimu kwa taaluma ,kiwango cha elimu ni Shahada ya kwanza katika masomo ya sayansi .Nimekuwa nikifundisha shule za sekondari na vyuo,kwenye taasisi mbalimbali zinazotoa elimu kwenye mfumo rasimi na usio rasmi kwa watu wazima,kama vile wanarudia mitihani ya kidato cha nne, cha sita, wanaofanya mitihani ya qulified test,wajasilia mali, wazazi wa wanafunzi kuhusu lishe,na mazingira, maswala ya uchumi na utunzaji fedha kwa ajili ya watoto wao.lakini pia mimi ni mkufunzi wa mafunzo ya watu wazima katika cha cha Tanzania Scout Association. hivyo nina uzoefu mkubwa wa kutoa elimu kwa watu wazima kwani hawa ndio wanao leta madiliko ya haraka katika jamii zatu.

brightfoundationfortanzaniande@gmail.com